Please subscribe now on Our YouTube channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time.
#middlesimba
#WeAreEverywhere
#babutale
#wasafi
#diamondplatnumz
@rengoofficial1424 years agoYou are the best, middle simba you have to be rewarded for the good job you always do. Love fromtunapenda stories zako sana. Like hapa kama unamkubali middle simba. 3
@
@damarissyombua36634 years agoBabu tale pole sanait really pains but usijali ni hali ya maisha tu. 2
@
@lembrismusa8934 years agoBabu tale ataweza san hata mimi lembu ningeweza. 2
@
@juniorcx01144 years agoWcb chama kubwa diamond platinum nembo ya taifa simbaa baba lao babu tale mungu nawe. 2
@
@emilymideva87834 years agoBabutale ako stronge anaweza kazi zote mbili #254 all the best taletale.
@
@mobrighttz1934 years agoInatakiwa afanye kazi zot kuongoza pia na morogoro vijijin ana weza na Nina iman anashinda kwa % 1
@
@ezapesambili21304 years agoSema niko mwanza ila. Ila morogoro lazma wamtie mjengon. 3
@
@jaydenkariuki65954 years agoWish him all the best but nauliza akiwa mbunge so ataendelea kukua manager wa wcb. 1
@
@dizzboss75264 years agoWcb bungeni sasa hahahahah nakubali middle simba.
@
@florabaruti80324 years agoTunatakiwa kuelewa ata kama kafiwa lakini maisha lazima yaendelee jamani. 2
@
@mjubamasawe37234 years agoNdo kmtoaa kafaraa mke wake kweli duu kweli maisha yanabadilika. 1
@
@hamisule38784 years agoNyie chichiem mwaka huu tutakushindeni vibaya sana hamtaamin.
@
@erickndunguru18244 years agoKwaio ile msiba ulikua n kafara siioo doo. 2
@
@egydiva90734 years agoMmh msiba hata wiki haijaisha. Hapo kunakitu.
@
@roseshiombo14504 years agoJaman eh si ungevumilia ata mkeo amalize sku arubaini wanaume wa sku hzi kweli hamjali kabsa. 1
@
@hamisule38784 years agoTutakushangazeni mwaka hju chichiem hamtaamin sisi tunaenda na nambar sio nyimbo za wcb.
@
@hassanmapenzi61884 years agoBabu tale atashinda uchaguzi wcb chama lao.
@
@hamisule38784 years agoKama mnazani mtahurumiwa ubunge sababu misiba tutawashinda kama trumphilar clinton chadema digital hii tunaenda na number.
@
@habibakhalfan10654 years agoDhana_ni_mbaya_mnoo_ila_kuolewa_na_ma_star_ni_mtihan_mkeo_juzi_tu_leo_watangaza_kuwania__ubunge. 1
@
@francissamson80284 years agoMaisha ni safari, ni wakati sasa kurndelea na safari babu tale.
@
@hamisule38784 years agoDiamond gombeya mboso rayvan salamu na harmonaize wemasepetu nyote tutawagaragiza vibaya.
@
@bintykigan62364 years agoHio nia yakugombea ubunge maskini alikua nayo kitambo ata mazishi nilimsikia mtu kasema watu wanamdhania vibaya baba wawatu.
@
@hamisule38784 years agoMlikujaa na wasanii wenu zanzibar seif sharifu akawashinda kwa kura 15, 0.
@
@hamisule38784 years agoHata zuchu khadija kopa wte wagombee hi mara hii chadema msingi sio ya makapi.
@sarahmunyiva59684 years agoSi mke alikufa juzi tu leo anamka kugombeaaliuwa mke dio apate umbunge? Jaman watu wamegeuka kuwa wanyama hata siugelia agalau mwezi moja.
@
@zakariamachibula4884 years agoHuo ni fara kabisa yaani mke wako kabisa kipenzi umezika hivi karibu arafu au kuna siri mbona sipati picha.
@
@michelinemapendo66524 years agoSasa mwanamuke kafariki leo unapata cheyo, daah sirizito. 3
@
@muanashaswaleh51104 years agoHuyu nae alikula mkewe kwakuwania dunia. 1
@
@geoffreymoses16424 years agoEee why ivoo something mke wake akafa juzi kwan ni sacrifice alitolewa. 1
Related videos for WASAFI imempa baraka zote BABUTALE aende kugombea ubunge Morogoro Mbunge mtarajiwa morogoro viji..:
babu tale mungu nawe. 2