#MarcoChali #OneTheIncredible #Msamiati #Yeaah!
People Have Forgotten That They Are Actually Blessed!!
Download YEAAH!
https://lnkfi.re/MCYeah
LYRICS:
INTRO:
( Hili Vibe liko kwenye Air/ Deilee/ Vibe liko kwenye Air )
CHORUS 1: MARCO CHALI - ( MR WINKO )
Mi Sihitaji Kucomplain - Yeah,
Mungu ana Bless it’s Okay eeeh - Yeah,
Mi Sihitaji Kucomplain - Yeah,
Mungu Ana Bless it’s Okay eeeh- Yeah.
It’s Okay X2
MARCO CHALI ( MR WINKO ) VERSE 1:
Vipo vya lawama Sio shida,
Vipo vya kupoteza Sio muda,
We Inukaa, na ukimbize ndoto. aaah,
Ku-patia haina maana hukosei,
Kiburi kinafanya hatujongei,
Tuna-Amka wapya kila day eeeh eeh,
Slow ila, kufika unawahi,
Chozi una- mfuta anae cry,
Tuki- pendana Mungu anafurahi
yeeeeh yeah!.
CHORUS 2
Mi Sihitaji Kucomplain - Yeah,
Mungu ana Bless it’s Okay eeeh - Yeah,
Mi Sihitaji Kucomplain - Yeah,
Mungu Ana Bless it’s Okay eeeh- Yeah.
VERSE 2 - ONE THE INCREDIBLE ( UNO ):
Haina maana kulalama/
Leo na kesho haina maana bila Jana/
Mungu ni mwema, ndugu, tubu unapohema
ukikumbuka, binadamu hatufanani tunafaana/
Uskiose imani unapokwama kwani/
Usiogope lawama unapoisaka Amani/
Kutoka hustle, tunahaha mtaani/
Mungu ana-bless, Sina shaka man/
Usiwaze zaidi ya unachohitaji kuwaza/
Usimkwaze yule usiyehitaji kumkwaza/
Tafakari zaidi, tafakari faidi, matunda ya huu uhai ile siku inapoanza/
Ni mangapi umepitia na uko hapa leo?/
Ni mangapi umeyasikia?, Je, umepata upeo?/
Mie nashukuru niko hai, niko hapa, hii ni sasa, umenidaka sio!?/
CHORUS 3:
Mi Sihitaji Kucomplain - Yeah,
Mungu ana Bless it’s Okay eeeh - Yeah,
Mi Sihitaji Kucomplain - Yeah,
Mungu Ana Bless it’s Okay eeeh- Yeah.
It’s Okay X2
VERSE 3 MSAMIATI:
INTRO:
( Bibi akuti, ku n'jini na bhandindwana hao.
Mnasahau kila kitu.
M'mbukege kuiputa
Zaka, msyosege zaka )
Kyala gwalugano, ikupilikisya,
Kusukile, ukiweka mbele pesa,
Makubwa yanapikwa na subra.
Subira.
Heshima na tamaa havikai nyumba moja
Labda zamani, sasa hakuna muda wa kungoja
Tunajifunza tukikua, tunakua tukijifunza
Kinachotufanya watu sio vitu, sio kitu. UTU,
Matatizo ya kila mtu. tuyaogope...!? kwanini.
Usitumie nguvu utaumia
Jifunze na nature, ndio funguo ya dunia
Jitambuueeee, usikiiii-lizi kitu kama usikilizi wazee
Yeah- Ulizia usipotee
CHORUS 4:
Mi Sihitaji Kucomplain - Yeah,
Mungu ana Bless it’s Okay eeeh - Yeah,
Mi Sihitaji Kucomplain - Yeah,
Mungu Ana Bless it’s Okay eeeh- Yeah.
It’s Okay X4
End.
Audiomack Link: https://audiomack.com/song/marcochali/yeaah