Ni muendelezo wa tukio la Mwanaume aliyenitafuta akilalamika na kutaka ushauri kutoka kwa Wanaume wenzake kuhusu nyumba ndogo yake kupata Mwanaume mwingine wakutaka kumuoa.
Nimempata Mwanamke huyo pamoja na baba yake mzazi wamefunguka mengi sanaa ambayo tulikuwa hatuyajui
Fwatilia hapa
#MatukioyaGeah #GeahTv #geahhabibu