Viongozi wametakiwa kuwashirikisha watu wenye ulemavu katika shughuli za maendeleo kwani nao wanao uwezo.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Tanga Thobias Mwilapwa wakati alipokuwa mgeni rasmi katika siku ya Watu wenye ulemavu ambapo kwa jiji la Tanga yamefanyika katika kituo cha YDCP.
Category
Show more
Comments - 1
Related videos for “WALEMAVU WANAHAKI SAWA KAMA WATU WENGINE”DC MWILAPWA: