Kwenye episode hii ya #WomenMatters, Lillian Mwasha anazungumza na Maimuna na Zawadi wanaosimulia mateso waliyopitia walipoenda Uarabuni kufanya kazi za ndani kupitia mawakala ambao hupeleka wasichana huko. Pia amealikwa mwanasheria/wakili maarufu nchini, Albert Msando