@evancemwaitubi63824 years agoWewe ni msaada mkubwa Sana kumuongezea CV tundu lisu hongera kwa Hilo ni yeye 2020 (lisu) 8
@
@vivianusrwezaura12454 years agoHivi inakuwaje mtu unakuwa mmbea na mnafiki kwa kiwango hiki? 10
@
@charlesmbaga60884 years agoMmbea sana kama wanamke halafu muongo na kichwa chako hakipo vizuri stay focus soon💪💪🔥🔥🔥💯
@
@bulayaconfidential72124 years agohakuna kazi ngumu kama kuwa kibaraka, mwanaume mzima mwenye pumbu mbili kuongea ujinga kama huu ni kutuvunjia heshima kama wanaume!! 7
@
@mohdsaeid3434 years agoMm ni ccm kura ya mbuge ntampa ccm ila uraisi tundu lisu ndo mkombozi wetu 6
@
@josephinegravasiano86144 years agoMungu anakuona atakujibu kwa wakati wake
@
@azizawadh59734 years agoIvi mbowe afunge mitambo rombo tcra inamuangalia tu usalama unamuangalia tu. Alafu musiba ndio utangaze utoe na maelekezo kwa umma 8
@
@luthermartin10984 years agoWewe wanaNchi wakapige kura acha uchongamishi 7
@
@mbeyadigitalsound4 years agoWe musiba mbona we hueleweki uko upande gani? 7
@
@bernardinaa75654 years agoSafi Msiba,Mungu akubariki sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤗🤗🤗🤗🤗💪💪💪 1
@
@mariethamkulo19834 years agoTuliaaaaa wewe watu tunajielewa siku hizi 11
@
@derickthobias63934 years agoKama na wewe umeona uyu musiba ana bweka2 gonga like 2
@
@karimchindema98234 years agoYani huyu jamaa anachokifanya ni kuwapush chadema kwenda mbele zaidi... I wish angekuwa kimya... 3
@
@ngoziy4 years agoWewe msenge kweli tena fala wa kidigitali
@
@robertelias1144 years agojasho litawatoka na mtaongea uongo mpaka mchoke, watu tumeanza kuelimika. 4
@
@godfreyngimba87374 years agoDaaah watu waoga nchi hii kashaanza kujistukia
@
@thelivingwordchannel90274 years agoMusiba,dont worry,tunajua wanachoplan kufanya na wafadhili wao. 3
@
@husseinmiraji13214 years agoMbona unataka kutuharibia Ccm yetu majimbo gani yamenunuliwa?
@
@gideonmwalyego4664 years agoMungu hawez kuteua jitu nafki,pumbavu na lenye kutoa story za uongo uongo. 4
@
@stevennchimbi18334 years agoUkishakuwa na matokeo yako mfukoni shida ndo zinaanzia hapo. Kwanini kunakuwa na uchaguzi 2
@
@Pango-ul2pb4 years agoMaixha haya mhhhh kweli wabongo nikama yuda
@
@yusuphdunga55434 years agohii mitambo imefungwa bila serikali kujua? 1
@
@joshuaswai6534 years agoKoma mpaka ufe usijiite mwanaharakati ni upumbavu umekujaa na njaa Kali tu
@
@sakinabakari98134 years agoTumeelimika msitupotoshe hatudanganyiki tena subirini 2020 1
@
@alijuma11894 years agoHuyu msiba akiambiwa msenge anaona dili 2
@
@josephmallya47394 years agoAcha kusema vibaya mbona na wewe unatumika 3
@
@samsonmliutu77614 years agoAcha kutudanganya Leo Nyerere hayupo na ni baba wa taifa na maisha yanaendelea acha kutudanganya.
@
@kondelamwenyewe8wasimba6814 years agoHuna lolote kwamba bila magufuli Tanzania haiwezekan umelongwa nn? 2
@
@joramuzacharia46414 years agoHofu yako nn maana kutoa utata musiba ni uchaguzi tu tunakiwa tujue nani kashinda kihalali 4
@
@mwetajackson89694 years agoTanzania bila Magufuli inawezekana mbona Nyerere mwasisi wetu hayupo na msisha yanaendelea?
@
@duniamapitosotewamungu34674 years agokama watoto wa chekechea watapiga kura basi makufuli asilimia 30 hapati
@
@furahaadam7234 years agoWasenge kama hawa bado wapo kumbe!!!!!!!!!! /////!!!!!!!!!
@
@evamacha78964 years agoLeo ndio nimejuwa wew ni muwongo muwogope mungu
@
@danielkaaya71114 years agoCcm wanapata wapi hela za kusomba watu waje kwa kampen ? 1
@
@mwetajackson89694 years agoHahahaaaaa hizi tahazari hakuweza kuzitumia kwa wajumbe alishindwa nini kunasa kuwa wajumbe hawamtaki akajitoa kuliko aibu aliyoipata?
@
@edwinkimambo94734 years agoKweli ww ni kibalaka wa mkolon ccm unajipya 1
@
@denisimaliyaweni91834 years agoKwan kuna kibaya kipi hapo lengo kutaka haki na usawa wa uchaguz ni vizur tu
@
@jahmbenyjahmbia2104 years agoHuyu mchochez sn kwani usalama wataifa
@
@thomasmwambwiga17244 years agoNatupo macho kweli chadema tutalinda kura hatutaki kuibiwa
@
@inno42674 years agoKama devis haifanyi kazi si poa ? Mbona umeigia ubaridi tena?
@
@azizawadh59734 years agoIundwe sheria ya kubomoa mitambo mnafeli wapiii 1
@
@danielkaaya71114 years agoSisi tupo tz unaongea kama unaongea na watu wasiojitambua
@
@mwajumamhecha86834 years agoBP itakuuwa. Musiba Mambo ya siasa waachie wenyewe Wana siasa 1
@
@issamartinho34904 years agoHoja nyepesiii sana unafeli wapi rafiki unabumba vitu upate attention...
@
@janekikoti21794 years agoCcm hoyeee Magufuri ni baba lao Tunashukuru kwa taarifa hiyo msiba
@
@philipmasungwa88944 years agoUnapoteza Muda wako bure watu walikwisha kupuuza WATANZANIA wenye akili zao timamu huwezikuwshawishi. 1
@
@polepolemgentz57844 years agoMsiba cc tumekukataa unajipendekeza hufaihatakua baloz nyumbakumi tuachena magufuliwetu
@
@zabronijoseph7284 years agoUjamaaa muongo yani ndomana aliangukia pua ubunge
Tunashukuru kwa taarifa hiyo msiba
Kuongea hivi ni kulidhalilisha jeshi letu makini.
Umbea.