Njia hii ni rahisi sana na ina matokeo ya kudumu kabisa tofauti na njia nyingine za mitaani ambazo zinakupa matokeo ya muda tu na ukiacha kuzitumia unajikuta tatizo limekuwa kubwa zaidi kuliko pale mwanzo.
..........................................................
Contact Us : +255676298270
-------------------------------------------------------------------------------
E-mail : toptenherbs@gmail.com
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram https://www.instagram.com/toptenherbs
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook https://web.facebook.com/toptentanzania
---------------------------------------------------------------------------------
Website https://www.topten.co.tz
-----------------------------------------------------------------------------------
@julianaharrison43563 years agoDr mafundisho yako nimefuatilia nipo vizuri sana asante kwa somo zuri. Uishi miaka mingi uendelee kutupa somo 17
@
@scholasticabufune10132 years agoUbarikiwe doctor na mim kesho ntaanza kuiaply hii njia maan nilikuwa na flat tm Ila baada ya kujifungua 😁😁nmekuwa n kitamb Kam vile bado nimjamzito🙈🤗 8
@alexdaniel31882 years agoAhsante sana Doctor nitaanza Leo hii njia nimeipenda 1
@
@mwitagabriel56443 years agoAsee hii itakuwa kweli ahsante sana mtaalam 2
@
@bonifacebeatrice80773 years agoAhsanteee kwa elimu na Mungu akuongezee viwango vya maarifa kadili ya apendavyo 3
@
@wavidunda4782 years agoAsante sana Dr.Ulin8saidia sana kuhusu dawa ya mkanda wa jeshi. 3
@
@estermagige41612 years agoOkay hapo nimekuelewa sn Doctor Asante sn 2
@
@SalmaMohamed-ff1mcyesterdayKwhiyo doctor ukila mchana usilale au mchana unaluhusu tulare.et🎉
@
@joelsamwel64042 years agoHii ni kweli 99.9% ndomana watoto wakienda shule bording anarudi amepungua unaweza sema shuleni akuna chakula lakini kipo ila wanawahi kula saa 12 wanesha kula 1
@
@salmasleyum8441last yearAhsante dr kwa ushauri wako nitaanza leo tukijaaliwa
@
@brunopeter97762 years agoNikweli kabisa Dr..nimepungua ndani ya wiki mbili tu baada kuacha kula usiku 2
@
@edithasimon2770last yearAsante sana kwa ushaur nimefanya mazoezi paka nimechoka
@
@alfredkenz3802 years agoOne respect thanks bt vp kuhusu sisi tunao fanya kazi usiku mzima
@
@lidyamhova80433 years agoSawa nashukuru ntaanza kuacha Kula jua likizama nimekuelewa vzr ten san 1
@
@rahabnkya82762 years agoNimepokea, MUNGU akuzidishie MAONO MENGI
@
@rizikinassoro40112 years agoMm nimeanza ngoja tuone Asante sana doctor maana ninatumbo hadi najichukia 1
@
@alicemakala-fi8xd8 months agoUpo sahh kabsaa kjjn weng sana hawana vtambj
@
@chrissytwaly1276last yearhabar docta je kwa mtoto je anatakiwa Kula jioni saa ngapi
@
@zainabsalum13093 years agoAsante kwa ushauri Je kula matunda usiku au maji usiku??? 1
@
@evalinejoseph64303 years agoshukran Sana Dr Mungu akulinde kila leo 1
@
@user-ys9lt6vv9j2 years agoAsante sana Dr, mimi sikuwaga na kitambi lakini nilipozaa kitambi kimekuja, sasa na mimi nitumiy hayo mafunzo au, nisaidiy nifany nini 2
@
@amourmattar7733 years agoVipi kwa CC waislaam mwezi was ramadhani
@
@samiaarimkonekonko50962 years agoNaomba unijibu kaka maji jee ninywe usiku
@
@justinmshana69042 years agoMm. Ningeulizaa jee jua likizamaa nikilaa matundaa usikuu ni vibaya
@
@rehemangome26677 months agoJe doctor naweza kula matunda usiku hainashida?
@
@shanitumaini98672 years agoMafundisho mazuri sana Sasa sisiambao tunavitambi tayari tufanye nini ili kitoke au nikiachakula usikukitaondoka taratibu
@
@fatmaiddi53392 years agoAsante sana dokta ume nifungua macho nn kitambi Toka nijifungue mpaka Sasa nn mwaka nnacho ntaanza Leo Asante
@
@user-et3px3bj9f2 months agoDr. Nitakipataje kwa sasa kitabu hicho?
@
@felixmagulu61423 years agoAsante sana Doctor, Hakika binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa. 5
@
@graceamran326last yearSamahani doctor hata maji haifai kunywa usiku
@
@GAYOTV20232 years agoNilikuwa nashangaa mbona kitambi changu kinaisha kumbe Ile ratiba ya kula saa kumi na Moja ndio imenisaidia nilikuwa sijui aise ahsante sana doctor Kwa elimu saizi namwambia mke chakula mwisho saa kumi na Moja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na nikienda kwenye sherehe ukumbini nabeba chakula changu nitakula ahsubuhi ...3
@
@aliethmgode3892 years agoAksnte Kwa elimu ila miundombinu ya kwetu umetoka shamba utafute Kuni maji upike juà limezama naaanza kubadilsha ratiba ya kula
@
@maimunaathman46643 years agoAsante Dr, ntakutafuta unitumie icho kitabu 1
@
@shebbytrante70253 years agoAisee dokta nilikuwa naitamani hii vibaya asante sana dokta 1
@beautymwaseba2003 years agoAsante Sana kwa kutupa hili somo maana vitambi vimekuwa balaa 2
@
@zeinabluwali78302 years agoShukran ntaanza Leo maana atanguo hazinikai
@
@wilkistarnyongesa45893 years agoReally doctor,umenisaidia cna ,Kila sku ninafanya mazoezi kitambi Kiko pale hakiishii, nimesha pata Siri x belly Asante kubarikiwa na mungu have a nice weekend 3
@
@valentinanduku8718last yearNi kweli dokta kuna mtu ananiambia hiyo mwisho wa kula ni jioni
@
@rosyotieno72713 years agoNaomba dawa ya kufagazi mkono na migu ? 2
@
@sherehemohamed14433 years agoYaan ni kwel nilikua sili usiku na kula mwisho saa kumi na moja jion tu kitambi nilikua sin
@
@harriswasongaochieng15313 years agoDactari tafadhali dawa ya asthma na iishe kabisa ni ipi?
@
@nhezimanmnyetabi4413 years agoHawa ndo tunaowataka so wake wa tuwasiliane kwa namba ....... 1
@
@aminasankole75572 years agoSasa doctr mbona wengi wetu tukizaa ndo vinazidi
@
@linetaidi47232 years agoHuku nairobi tuko na shida haswa wafanyi kazi wa manyumba kwa kula chakula saa 5
@
@valentinaelijah74133 years agoahsanteee sana kwa kunifumbua macho maaan huyu ni mim kabisa nakula saa nne af baad ya nusu saa nalal akii 😂😂😂 naanz kesho hii ntaleta mrejesho barikiwa🙏 1
Related videos for Jinsi ya Kuondoa Kitambi na Nyama Uzembe bila Dawa wala Diet:
Je kula matunda usiku au maji usiku??? 1